Wednesday, September 16, 2015

TULIAHIDI TUMETEKELEZA SASA MBELE KWA MBELE

#‎AHADI‬ KWA VITENDO... NIAMINI NIKUTUMIKIE. NILIAHIDI NA NIMETHUBUTU KUTENDA ILA BADO TUNAHITAJI KWENDA MBELE MBALI ZAIDI KWA MAENDELEO YETU, YA JIMBO LETU NA NCHI YETU KWA UJUMLA WAKE.
(MICHEZO)
‪#‎GO‬ FOR KIKWAJUNI.
#GO FOR MASAUNI.


Mh. Hamad Yussuf Masauni akisaliamiana na wachezaji Katika Ligi ya Masauni Cup iliyofanyika katika Viwanja vya mnazi mmoja mjini Unguja


 Mh. Hamad masauni akionesha umahiri wake katika upigaji wa penanti
 
 Mh. Hamad Massauni Akitoa Nasaha Chache Kwa Vijana  katika Fainali ya Ligi ya Masauni Cup

No comments:

Post a Comment