Sehemu ya sunami ya watu kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
Msanii
Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza kwenye Uwanja wa
Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa
kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar
Viongozi
wakiwa jukwaa kuu kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini
Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za
kugombea Urais wa Zanzibar.
Rais Kikwete na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein wakionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia gharika hiyo ya watu katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzib.
Gharika ya watu ikiondoka kwa furaha na amani baada ya mkutano uliofana wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar
No comments:
Post a Comment