Wednesday, September 16, 2015

MAENDELEO YA JIMBO LA KIKWAJUNI KATIKA SEKTA YA ELIMU

Nitumeni niendelee kukutumikieni, AHADI KWA VITENDO. Imani, Nia thabiti, Ukweli, Upendo, mashirikiano na mshikamano ndizo nguzo za maendeleo na mafanikio ya jimbo letu La KIKWAJUNI na Zanzibar kwa ujumla. Mabadiliko ya maendeleo huletwa nasi kwa pamoja tunaweza. Yalikuwa ni mashindano ya kuhifadhi Qur-an tukufu yaliyoandaliwa na JUMUIA YA KUINUA JIPAJI VYA KUHIFADHI QUR-AN JIMBO LA KIKWAJUNI.



 Mh: ENG Masauni akiwa anatoa nasaha kwa vijana walio shiriki katika Mashndano ya Qur-an kushoto akiwa na Mh: Jazira  Mwakilishi mteule wa jimbo la kikwajuni 
 

No comments:

Post a Comment